Museveni wa Uganda ashinda muhula wa saba wa Urais
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-18 01:30 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Matokeo rasmi ya uchaguzi yanaonyesha, Museveni ameshinda muhula wake wa saba kwa kupata asilimia 71.65 ya kura. Kiongozi huyo mkongwe huyo mwenye umri wa miaka 81 amemshinda mpinzani wake mkuu, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine mwenye umri wa miaka 43 ambaye mepata asilimia 24.72 ya kura. Hata hivyo Bobi Wine, anatarajiwa kuyakataa matokeo hayo rasmi.
--------------------------------------------------------------------