Khamenei amshutumu Trump kwa vifo vilivyotokea Iran
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-18 02:23 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, amesema mamlaka nchini humo ni lazima zizime nguvu za watu wanaochochea ghasia huku akimshutumu Rais wa Marekani Donald Trump kwa vifo vilivyotokea baada ya ukandamizaji wa wimbi la maandamano dhidi ya utawala wa nchi hiyo.
--------------------------------------------------------------------