Jeshi la Syria laongeza udhibiti maeneo ya Wakurdi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-18 21:47 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Serikali nchini humo imetangaza pia kuudhibiti mji wa kimkakati wa Tabqa ulio umbali wa kilometa 55 kutoka Raqqa. Hayo yanajiri wakati wapiganaji hao wakipambana na vikosi vya serikali ambavyo katika siku za karibuni vimeongeza udhibiti katika maeneo yaliyokuwa chini ya waasi hao kwa miongo kadhaa.
--------------------------------------------------------------------