Watu 5,000 waliuawa kwenye maandamano ya Iran
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-19 00:03 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Maafisa wa Iran hawajatoa idadi kamili ya vifo kutokana na maandamano hayo, lakini kundi la haki za binadamu la Iran Human Rights (IHR) lenye makao yake makuu nchini Norway liliripoti kwamba watu 3,428 wamethibitishwa kuuawa na vikosi vya usalama, huku wakionya kwamba idadi halisi inaweza kuwa juu zaidi.
--------------------------------------------------------------------