Iran yakanusha kutoa adhabu ya kifo dhidi ya waandamanaji
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-19 02:13 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Afisa huyo amesema mchakato wa kutoa adhabu ya aina hiyo ni mgumu na mrefu unaoweza kuchukua muda wa miezi hadi miaka kadhaa. Aidha, amewatuhumu baadhi ya watu waliohusika na maandamano hayo kuwa ni mamluki wenye uhusiano na mashirika ya ujasusi ya Marekani na Israel ya CIA na Mossad.
--------------------------------------------------------------------