Uganda bado ina changamoto ya intaneti

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-19 21:24 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Huduma za mitandao zilirejea usiku wa kuamkia Jumapili lakini bado kuna vizingiti. Umma ungali unakabiliwa na hali ngumu ya kutumia mitandao ya mawasiliano ya kijamii kama vile whatsapp, tiktok, X na mingineo na pia kuendesha miamala hususan kuhamisha pesa kupitia simu za mkononi kama ilivyo mazoea.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]