Jeshi la Kongo lachukua udhibiti wa mji wa Uvira
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-19 21:44 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Walipoingia mjini Uvira, wanamgambo wa kundi la Wazalendo walipokelewa kwa shangwe na umati wa watu waliokuwa wamefika kuwakaribisha. Wengi wa Wazalendo walikuwa wameingia Uvira kutoka kwenye milima inayozunguka mji huo.
--------------------------------------------------------------------