Senegal washinda AFCON dhidi ya Morocco

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-19 21:38 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Uwanja wa Mwanamfalme Moulay Abdellah mjini Rabat ulizizima wakati wa mechi ya mshikemshike kati ya Simba wa Teranga Senegal na wenyeji Morocco wanaofahamika pia kama Simba wa Atlas. Dakika 90 za mwanzo zilimalizika bila ya simba hao kufungana.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]