Oxfam: Utajiri wa mabilionea wapanda kwa 20% tangu 2020
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-20 01:29 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Shirika hilo la Oxfam linalopambana na umaskini na kushughulika na masuala ya maendeleo, ambalo hutoa ripoti ya kila mwaka kuhusu ukosefu wa usawa duniani kabla ya mkutano wa Davos, lilisema takriban mabilionea 3,000 duniani walikuwa na utajiri wa jumla wa dola trilioni 18.3 mwaka jana.
--------------------------------------------------------------------