RSF walitumia makaburi ya pamoja kuficha uhalifu wa kivita
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-20 14:54 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, International Orgs
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Naibu Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, ICC, Nazhat Shameem Khan, aliliambia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwamba ofisi yake "inaamini kuwa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinaadamu ulitendeka" wakati RSF ilipotwaa udhibiti wa mji mkuu wa Darfur, El-Fasher, mwezi Oktoba.
--------------------------------------------------------------------