Mwaka mmoja wa Trump wachochea mpasuko kanda ya Atlantiki

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-20 18:52 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Europe, International Orgs, US Politics, War & Conflict
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mgogoro kati ya washirika wa NATO kutoka Ulaya na Marekani unaendelea kuwa mkali zaidi kila siku: Hivi karibuni, Rais wa Marekani Donald Trump ameuzidisha mgogoro kuhusu Greenland kwa kutangaza ushuru maalumu kwa baadhi ya nchi za Ulaya kama Ujerumani. Ujerumani na mataifa mengine ya Ulaya yalikuwa yametuma wanajeshi kwenda Greenland kama ishara ya upinzani dhidi ya madai ya Trump ya kutaka kukitwaa kisiwa hicho, ambacho ni mali ya Denmark, hata kwa kutumia nguvu ikiwa itahitajika.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]