Chama cha Kurdistan Freedom cha Iran chashambuliwa Iraq

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-21 22:16 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Chama cha upinzani cha Wakurdi kutoka Iran ambacho kina makao makuu yake nchini Iraq, kimeituhumu Iran hivi leo kwamba, imeyashambulia majengo ya ofisi zake kwa roketi na droni na kumuua mmoja wa wanachama wake na kuwajeruhi wengine wawili.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]