Mvutano wa ndani ODM wazidi kuibua hatari ya mpasuko

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-22 02:06 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Chama kikuu cha upinzani nchini Kenya, Orange Democratic Movement (ODM), kimejikuta katika njia panda huku mvutano wa uongozi ukijitokeza waziwazi. Wakati huohuo, mjadala kuhusu kuunda miungano na vyama vingine vya kisiasa unaendelea kuzua hisia mseto miongoni mwa wanachama na viongozi wa chama hicho.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]