Bobi Wine asema anapewa hifadhi na raia wa Uganda

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-22 13:51 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza na shirika la habari la Ufaransa AFP, Wine aliyekamatwa na kuteswa wakati wa uchaguzi wa mwaka 2021 ila akashiriki uchaguzi wa wiki iliyopita, amesema kuwa kwa sasa yuko mafichoni na anapewa hifadhi na raia wa kawaida tu huko Uganda, wakati ambapo familia yake imezuiwa kutoka nje kwa kipindi cha wiki moja sasa.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]