Saudia na mataifa ya Kiarabu yajiunga na "Bodi ya Amani"

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-22 13:51 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, US Politics, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Haya yamesemwa Jumatano na wizara ya mambo ya kigeni ya Saudi Arabia. Katika taarifa ya pamoja, Riyadh imetangaza uamuzi huo wa pamoja wa wizara za mambo ya nje za Saudia, Qatar, Uturuki, Misri, Jordan, Indonesia, Pakistan na Falme za Kiarabu, kujiunga na bodi hiyo ambayo mwenyekiti wake ni Rais Donald Trump.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]