Marekani yajiondoa katika Shirika la Afya Duniani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-22 21:01 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Marekani imetahadharishwa kwamba hatua yake hiyo itaawaathiri wananchi wake pamoja na mifumo ya afya ulimwenguni kote pia imefahamishwa kuwa hatua hiyo inakiuka sheria ya Marekani inayoitaka serikali kulipa ada inayodaiwa na Shirika la afya la Umoja wa Mataifa ya dola milioni 260.
--------------------------------------------------------------------