Viongozi wa EU kukutana kwa dharura kuhusu Greenland

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-22 21:32 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Europe, International Orgs, US Politics, War & Conflict
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Rais Trump alikuwa ametangaza kuziwekea ushuru wa asilimia 10 bidhaa kutoka kwa washirika kadhaa wa Ulaya kuanzia Februari Mosi, lakini alibadilisha mawazo yake siku ya Jumatano. Mabadiliko hayo ya Trump aliyatangaza mjini Davos Uswisi, wakati akihutubia Jukwaa la Kimataifa la uchumi, na kusema kuwa kuna mfumo mpya wa makubaliano na NATO kuhusu usalama katika kanda ya Aktiki bila Marekani kutumia nguvu kuchukua Greenland.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]