Kenya: Ulanguzi wa binadamu waongezeka maeneo ya mipakani

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-22 22:02 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Immigration, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Matokeo ya awamu ya Pili ya tathmini kuhusu Ulanguzi wa binaadamu Magharibi ya Kenya yameibua wasi wasi miongoni mwa asasi za serikali na kiraia, idara ya usalama na ya watoto zikionya kuhusu ongezeko la visa vya ulanguzi wa binadamu hasaa watoto katika miji iliyo mipakani ya, Malaba na Busia, ikibainishwa kuwa, miji mingine Magharibi ya Kenya ikiwemo Isebania mpakani mwa Kenya na Tanzania na Kehancha - Migori na miji iliyo nje ya mipaka, Bungoma, Eldoret, Sondu ya Kisumu inajumuishwa katika
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]