Uganda: Hali ya afya ya Besigye yawatia hofu wafuasi wake

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-22 21:26 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Baada ya mamlaka ya magereza kuifahamisha mahakama kuu kuwa dokta Kizza Besigye hangeweza kufika mahakamani kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili, mawakili na wafuasi wake sasa wamethibitisha kwamba kiongozi wao yumo katika hali mbaya ya afya.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]