Marekani, Ukraine na Urusi zaanza mazungumzo Abu Dhabi

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-24 02:24 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Zelensky amewaeleza waandishi wa habari leo Ijumaa kwamba Donbas itatawala mazungumzo ya leo na kesho yanayofanyika Umoja wa Falme za Kiarabu kati ya maafisa wa Marekani, Ukraine na Urusi. Ameongeza kwa kusema kwamba; "Donbas ni suala muhimu. Litajadiliwa kwa muundo ambao pande tatu zitaona unafaa mjini Abu Dhabi leo na kesho."
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]