Ripoti: Watoto milioni 8 hawaendi shule Sudan
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-23 21:18 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kulingana na ripoti ya Save the Children, idadi hiyo ni sawa na zaidi ya watoto milioni nane. Inger Ashing, Mkurugenzi Mtendaji wa Save the Children amesema kwa sasa jumuia ya kimataifa inashindwa kuwasaidia watoto wa Sudan. Ripoti hiyo imesema kuwa idadi hiyo ya watoto wa Sudan wamekosa takribani siku 500 za masomo tangu vita vilipozuka Aprili, 2023.
--------------------------------------------------------------------