Mafuriko yawauwa watu 61 nchini Afghanistan

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-25 02:39 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Msemaji wa Mamlaka ya Kitaifa ya Kukabiliana na Maafa Yousaf Hammad amesema watu 61 wamekufa na 110 wamejeruhiwa, wakati nyumba 458 zimeharibiwa kabisa au kwa sehemu na mamia ya wanyama wamekufa katika mikoa 15 kati ya 34 ya nchi hiyo.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]