Antonio Costa, Ursula Von der Leyen wawasili India
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-26 02:37 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, India, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Costa na rais wa Tume ya Ulaya Ursula von der Leyen ni wageni wakuu wa maadhimisho ya mwaka huu ya Jamhuri ya India katika jiji la New Delhi yatakayofanyika Jumatatu kabla ya mkutano wa kilele wa 16 wa Umoja wa Ulaya na India.
--------------------------------------------------------------------