Ulaya na India kutia saini mkataba mkubwa wa biashara
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-26 14:58 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, India, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya, Ursula von der Leyen na mwenzake wa Baraza Kuu la umoja huo Antonio Costa waliwasili kwenye mji mkuu wa India, New Delhi, jana Jumapili kutia saini mkataba huo ambao Umoja wa Ulaya umeutaja kuwa "mama wa mikataba yote ya biashara huria" duniani.
--------------------------------------------------------------------