Wasyria waliokimbia mapigano Aleppo waanza kurejea

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-26 17:23 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Taarifa kutoka ndani ya Syria, zinasema watu wameanza kurejea makwao kwenye mji wa Aleppo hususani baada ya serikali kutangaza kurefusha muda wa kusitisha mapigano kati ya vikosi vyake na wapiganaji wa Kikurdi wa SDF wanaoungwa mkono na Marekani.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]