Sudan Kusini yaamuru raia kuondoka maeneo ya Jonglei

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-26 21:37 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Jeshi la Sudan Kusini limeamuru raia wote pamoja na wafanyakazi wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa na wahudumu wote wa mashirika ya msaada kuondoka katika kaunti tatu za Jimbo la Jonglei, kabla ya operesheni ya kijeshi dhidi ya vikosi vya upinzani. Katika taarifa yake, jeshi limewataka raia wote wanaoishi katika kaunti za Nyirol, Uror, na Akobo katika Jimbo la Jonglei kuondoka mara moja kwa usalama na kuelekea katika maeneo yanayodhibitiwa na serikali haraka iwezekanavyo.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]