Israel yaahidi kukifungua tena kivuko cha Rafah

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-26 21:10 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Ofisi ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu inasema Jeshi la Ulinzi la taifa hilo kwa sasa linafanya upekuzi kutafuta mabaki ya mwili wa Ran Gvili. Kupitia ukurasa wake wa X ofisi hiyo imeandika "Mara baada ya operesheni hii kukamilika, na kwa mujibu wa makubaliano yaliyofikiwa na Marekani,Israel itafungua Kivuko cha Rafah."
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]