Obama, Clinton wakemea mauaji ya maafisa wa shirikisho

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-26 21:45 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Marais wa zamani wa Marekani Barack Obama na Bill Clinton, wametoa wito kwa Wamarekani kusimama na kutetea maadili ya nchi yao baada ya mauaji ya pili ya raia mjini Minneapolis yaliyofanywa na maafisa wa uhamiaji, mauaji ambayo Donald Trump amesema ni matokeo ya vurugu za chama cha Democratic.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]