Uganda: Jeshi lasema watu 30 waliuawa na 2,000 wakakamatwa

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-24 02:07 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kauli ya kutisha ya mkuu wa jeshi la Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba kwamba wafuasi 30 wa upinzani wameuawa, kauli ya kiongozi wa upinzani Robert Kyagulanyi almaarufu Bobi Wine kwamba yuko mafichoni kwa kuhofia maisha yake, na tahadhari ya umoja wa mataifa kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Uganda, vimezidisha wasiwasi mkubwa nchini humo baada ya uchaguzi wa rais na bunge wa Januari 15.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]