Marufuku kuripoti ushuhuda wa waathiriwa wa ghasia Tanzania

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-26 21:48 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Tume huru ya uchunguzi wa vurugu za Oktoba 29 nchini Tanzania, iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imezuia wanahabari kushiriki katika mahojiano yanayofanywa kati ya tume hiyo na waathirika wa vurugu za Oktoba 29, imedai kuwa kuchapishwa kwa taarifa zao kunachagiza msongo wa mawazo. Hata hivyo uamuzi huo umepokewa kwa mtazamo tofauti na wadau wa masuala ya Habari na wa afya ya akili Tanzania.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]