Gachagua adai aliponea jaribio la mauaji dhidi yake
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-26 22:26 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Gachagua anadai kuwa uvamizi dhidi yake ulifanywa kwa ushirikiano wa polisi na wahuni ambapo magari yake yaliteketezwa moto. Kwa upande mwingine serikali kupitia Makamu wa Rais Kithure Kindiki amesema shambulio hilo lilipangwa na Gachagua kwa lengo la kuvuta hisia za kuonewa huruma.
--------------------------------------------------------------------