Rwanda yakiri kushirikiana na waasi wa AFC/M23
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-26 21:18 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Balozi wa Rwanda nchini Marekani Mathilde Mukantabana ameiambia kamati ya Bunge la Marekani kwamba Rwanda imekuwa ikifanya hivyo kwa sababu za kiusalama lakini pia kuzuia kundi la wapiganaji wa kihutu la FDLR kuendesha mauaji ya jamii ya watutsi wa Kongo.
--------------------------------------------------------------------