Dhoruba kali ya theluji Marekani yasababisha vifo kadhaa
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-27 02:25 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Dhoruba kali ya majira ya baridi iliyoyakumba maeneo makubwa ya Kaskazini mwa Marekani, imesababisha vifo vya watu wasiopungua 11, kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari. Gazeti la USA Today, likinukuu mamlaka za maeneo husika, limeripoti kuwa kulikuwa na vifo angalau 13 katika majimbo matano ya Marekani, wakati kituo cha CNN kiliripoti vifo angalau 11.
--------------------------------------------------------------------