Duterte kukabiliwa na kesi ya ICC mnamo Februari 23
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-27 02:36 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Philippines, International Orgs
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Rais wa zamani wa Ufilipino, Rodrigo Duterte, atakabiliwa na kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) mwezi ujao. Uamuzi huo umetolewa na majaji wa ICC mapema leo Jumatatu, baada ya kuzikataa hoja kwamba kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 80 hawezi kushiriki kutokana na hali ya afya yake.
--------------------------------------------------------------------