Trump awaagiza maafisa wa uhamiaji kuondoka Minneapolis
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-27 21:15 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Meya wa Minneapolis Jacob Frey amesema baadhi ya maafisa wa uhamiaji wa Marekani wataondoka kwenye mji huo. Frey ametoa kauli hiyo baada ya kufanya mazungumzo kwa njia ya simu na Rais Donald Trump, na kumuomba aachane na utekelezaji wa sheria za uhamiaji unaojulikana kama Operation Metro Surge.
--------------------------------------------------------------------