Hisia na kumbukumbu nzito mwaka mmoja baada ya Goma kuanguka

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-27 22:31 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mnamo tarehe 27 Januari 2025, mji wa Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ulikuwa uwanja wa mapigano makali kati ya waasi wa AFC/M23 na vikosi vilivyosalia vya jeshi la serikali. Mji huo, makao makuu ya jimbo la Kivu Kaskazini na wenye wakazi wapatao milioni mbili, uligeuka kuwa eneo la hofu, vifo na mateso yasiyoelezeka.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]