Watu 23 wajeruhiwa katika mashambulizi mbali mbali Ukraine

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-27 21:51 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Maafisa hao wa Ukraine wamesema makombora na droni za Urusi zimelenga mji wa pili kwa ukubwa nchini Ukraine, Kharkhiv jana jioni na kusababisha kukatizwa kwa nguvu za umeme wakati huu wa msimu wa baridi kali huku watu 23 wakijeruhiwa katika shambulizi la usiku kucha katika mji wa kusini wa Odesa.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]