Wanaharakati wasema watu wasiopungua 6,126 wameua Iran

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-28 02:57 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Madai hayo yametolewa wakati msafara wa meli za kivita za Marekani ukiwasili Mashariki ya Kati, hatua iliyoongeza hofu ya uwezekano wa Marekani kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran. Mataifa ya Ghuba, kwa upande wao, yameeleza kuwa hayatahusika moja kwa moja na shambulio lolote, licha ya kuendelea kuwahifadhi wanajeshi wa Marekani katika maeneo yao.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]