Ghana: Maombi badala ya tiba kwa wagonjwa wa akili
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-21 20:44 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Ilikuwa ni Ijumaa asubuhi katika Msitu wa Achimota, eneo la kijani katikati ya mji wa Accra, ambako makundi ya waumini walikuwa wakimiminika kwa wingi kuomba. Msitu huo umegeuka kuwa hifadhi isiyo rasmi kwa familia zilizokata tamaa kutafuta uponyaji wa matatizo ya akili.
--------------------------------------------------------------------