Venezuela: Marekani imeanza kuziachia fedha ilizozizuia
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-28 14:26 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Rodriguez ambaye alichukua hatamu za uongozi wa nchi hiyo baada ya makomandoo wa Marekani kumkamata na kumwondoa madarakani Maduro mnamo Januari 03, ametoa taarifa hiyo kupitia hotuba kwa taifa jana Jumanne.
--------------------------------------------------------------------