Rwanda yaishitaki Uingereza The Hague

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-28 20:48 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika ujumbe iliouandika kwenye mtandao wa kijamii wa X, Rwanda imewasilisha ilani katika mahakama ya usuluhishi wa mizozo iliyo na makao yake mjini The Hague Uholanzi, ikidai Uingereza imekiuka makubaliano ya kifedha yaliyokuwepo katika mpango huo ambao ulikuwa ushuhudie wahamiaji haramu Uingereza kupelekwa Rwanda.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]