Familia zaendelea kuwatafuta waliouwawa Oktoba 29 Tanzania

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-28 22:05 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Shirika la habari la AFP limefanya mahojiano na familia kadhaa ikiwemo ya mwandishi wa habari Maneno Selanyika aliyeuawa Oktoba 30 ambaye hadi sasa mwili wake haujapatikana licha ya juhudi za kuutafuta. Ripoti ya AFP imeyanukuu mashirika ya haki za binadamu na mashuhuda waliosema kuwa wengi wa waliouawa katika vurugu hizo walikuwa wapita njia wasio na hatia.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]