Miezi mitatu baadae, familia Tanzania bado zinasubiri miili
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-28 21:16 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Manenos Selanyika, mwandishi wa habari mwenye umri wa miaka 40, ni miongoni mwa waliopoteza maisha katika vurugu hizo. Kwa mujibu wa majirani waliyozungumza na familia yake, Selanyika alipigwa risasi na vikosi vya usalama tarehe 30 Oktoba, alipokuwa akitafuta chakula wakati maandamano yalipokuwa yakiendelea jijini Dar es Salaam. Hata hivyo, juhudi za familia yake kuuchukua mwili wake zilikwamishwa na polisi.
--------------------------------------------------------------------