Kaunti zaidi ya 10 nchini Kenya zakumbwa na uhaba wa chakula

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-29 01:44 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Zaidi ya watu milioni mbili nchini Kenya wanakabiliwa na hatari ya uhaba wa chakula kufuatia mvua chache za msimu wa vuli ambazo hazijashuhudiwa kwa zaidi ya miongo minne. Hali hii imeathiri pakubwa maeneo ya wafugaji na kaunti zilizoko katika ukanda wa ukame.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]