Watoto wahamiaji walengwa wa kampeni mpya Afrika Kusini
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-29 02:05 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Nchini Afrika Kusini, kampeni ya kupinga watoto wa wahamiaji kupata elimu katika shule za umma imeanza kushika kasi, huku mwaka mpya wa masomo ukiwa tayari umeanza. Kampeni hiyo inatuma ujumbe wazi kuwa watoto wa kigeni hawakaribishwi katika shule za umma.
--------------------------------------------------------------------