UN yaridhia kufunga ujumbe wake katika mji wa Hodeida
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-29 02:06 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia, China, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha uamuzi wa kusitisha rasmi Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kuunga Mkono Makubaliano ya Hodeidah, UNMHA, uliokuwa ukifanya kazi katika mji wa bandari wa Hodeida nchini Yemen. Azimio hilo limepita kwa kura 13 za ndiyo, bila ya kupingwa huku Urusi na China zikijizuia kupiga kura.
--------------------------------------------------------------------