Rwanda yaishtaki Uingereza Mahakama ya Usuluhishi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-28 21:52 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika makubaliano yao, Uingereza ilikubali kuilipa Rwanda ili iwachukue wahamiaji kutoka Uingereza wanaowasili nchini humo kinyume cha sheria. Hata hivyo ni wahamiaji wanne pekee waliokwenda Rwanda kwa ridhaa yao baada ya kuibuka changamoto kuhusu mkataba huo.
--------------------------------------------------------------------