Vifo na majeruhi wa Urusi na Ukraine huenda wakafika mil.2
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-29 14:58 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Ripoti ya Kituo cha Masomo ya Kimkakati na Kimataifa, CSIS iliyochapishwa siku ya Jumanne imesema watu milioni 1.2 wa Urusi walikufa ama kujeruhiwa, ikiwa ni pamoja na wanajeshi 325,000 waliokufa katika kipindi cha kati ya Februari 2022 na disemba 2025.
--------------------------------------------------------------------