Wahamiaji 500,000 kupata hadhi ya kisheria Uhispania
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-29 21:14 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Hatua hii ya kipekee itatekelezwa kwa kuharakisha kutolewa kwa amri ya serikali ili kurekebisha sheria za uhamiaji, kwa mujibu wa Waziri wa Uhamiaji wa Uhispania, Elma Saiz, hatua inayoweka kando muswada sawa ambao umekwama bungeni. Wahamiaji watakaostahili watapewa hadi mwaka mmoja wa ukaazi wa kisheria pamoja na kibali cha kufanya kazi.
--------------------------------------------------------------------