Senegal na Morocco zachukuliwa hatua na CAF
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-29 21:50 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kocha wa Senegal Pape Thiaw amefungiwa mechi tano na kupigwa faini ya dola za kimarekani 100,000 kwa kile ambacho CAF imesema alifanya mambo kinyume na utaratibu na kuuchafua mchezo huo ambao timu yake ya Senegal ilishinda 1-0 baada ya muda wa ziada.
--------------------------------------------------------------------